Imenilemea
Imenilemea

Iddi Singer - Imenilemea Lyrics

Oct 7, 2020
3
Imenilemea Music Video

Imenilemea Lyrics

Nafanya yote najishuku nakukosea
Napotezea kula kuku mi nakuletea
Sikupewa mi wa chuma waumiza wangu moyo
Yamenishinda kunywa hayanipiti kwenye koo
Nilijitahidi nikaambulia kuchezwa
Tena kwa kusudi kurudi kwake analetwa
Nilijitahidi nikaambulia kuchezwa
Tena kwa kusudi kurudi kwake analetwa
Siwezi na hali hii
Kuteseka mi nikuridhishe mama
Siwezi na hali hii oh
Imenilemea
Siwezi na hali hii
Kuteseka mi nikuridhishe mama
Siwezi na hali hii
Ohh no no no no
Nikiwa siko anatoka yee
Nahangaika kutwa kucha daily
Nikiwa sina anafoka yee
Nimekubali bora mama uende
Nimejitambua sasa ishakua kwa mdhamini nenda kalale
Nimejisumbua sasa napumua huna ujanja toka kadange
Nilijitahidi nikaambulia kuchezwa
Tena kwa kusudi kurudi kwake analetwa
Nilijitahidi nikaambulia kuchezwa
Tena kwa kusudi kurudi kwake analetwa
Siwezi na hali hii
Kuteseka mi nikuridhishe mama
Siwezi na hali hii oh
Imenilemea
Siwezi na hali hii
Kuteseka mi nikuridhishe mama
Siwezi na hali hii
Ohh no no no no
Unajiona gwiji unaruka viwanja huna haya wee
Siwezi panda miti udongo wako mbaya we dada wee
Unajiona gwiji unaruka viwanja huna haya we
Siwezi panda miti udongo wako mbaya we dada wee
Siwezi na hali hii
Kuteseka mi nikuridhishe mama
Siwezi na hali hii oh
Imenilemea
Siwezi na hali hii
Kuteseka mi nikuridhishe mama
Siwezi na hali hii
Ohh no no no no

Nafanya yote najishuku nakukosea
Napotezea kula kuku mi nakuletea
Sikupewa mi wa chuma waumiza wangu moyo
Yamenishinda kunywa hayanipiti kwenye koo
Nilijitahidi nikaambulia kuchezwa
Tena kwa kusudi kurudi kwake analetwa
Nilijitahidi nikaambulia kuchezwa
Tena kwa kusudi kurudi kwake analetwa
Siwezi na hali hii
Kuteseka mi nikuridhishe mama
Siwezi na hali hii oh
Imenilemea
Siwezi na hali hii
Kuteseka mi nikuridhishe mama
Siwezi na hali hii
Ohh no no no no
Nikiwa siko anatoka yee
Nahangaika kutwa kucha daily
Nikiwa sina anafoka yee
Nimekubali bora mama uende
Nimejitambua sasa ishakua kwa mdhamini nenda kalale
Nimejisumbua sasa napumua huna ujanja toka kadange
Nilijitahidi nikaambulia kuchezwa
Tena kwa kusudi kurudi kwake analetwa
Nilijitahidi nikaambulia kuchezwa
Tena kwa kusudi kurudi kwake analetwa
Siwezi na hali hii
Kuteseka mi nikuridhishe mama
Siwezi na hali hii oh
Imenilemea
Siwezi na hali hii
Kuteseka mi nikuridhishe mama
Siwezi na hali hii
Ohh no no no no
Unajiona gwiji unaruka viwanja huna haya wee
Siwezi panda miti udongo wako mbaya we dada wee
Unajiona gwiji unaruka viwanja huna haya we
Siwezi panda miti udongo wako mbaya we dada wee
Siwezi na hali hii
Kuteseka mi nikuridhishe mama
Siwezi na hali hii oh
Imenilemea
Siwezi na hali hii
Kuteseka mi nikuridhishe mama
Siwezi na hali hii
Ohh no no no no

Writer(s): Iddi Hemed
Copyright(s): Lyrics © O/B/O DistroKid
Lyrics Licensed & Provided by LyricFind

Post your Interpretation

Attach an image to this thought

Drag image here or click to upload image

The Meaning of Imenilemea

Be the first!

Post your thoughts on the meaning of "Imenilemea".

Latest Blog Posts
Lyrics Discussions
by Nipsey Hussle, Bino Rideaux

1

36
Hot Songs
by Rich Amiri

1

57
Recent Blog Posts