Zombie
Zombie

Iddi Singer, Mercury - Zombie Lyrics

Oct 7, 2020
3
Zombie Music Video

Zombie Lyrics

Nachotaka ni we around me
Ukiwa mbali nimikasa
Umefanya niwe kama zombie
Wanasema umeniwasha
We ni buyu na mi ni rangi
Penzi letu litapasha
Kwako tight kuzuga sitaki
Utamu wote mi napata
Kama saa ya majira kwake mi nasimama
Napoteza dira kama teja mi nazima
Na zangu hisia kwake mi nimekwama
Baby just leave it right there
Kwake mi ugali bila mboga nitashiba
Hata nidhurike na maradhi ye ndio tiba
Hodari akiwa saba kiungo nane mi napiga
Baby just leave it right there
Anadeka nikiwambia kumuimbia
Jinsi ninavyompenda yee
Anacheka akinilalia kutulia
Kufuli yangu ufunguo ni yee
Anadeka nikiwambia kumuimbia
Jinsi ninavyompenda yee
Anacheka akinilalia kutulia
Kufuli yangu ufunguo ni yee
Vile umejibeba
Watapata tabu sana watakesha
Wakiomba sana mi nawe kuteta
Niko sure na ndio maana mi napeta ahh
Vile umejibeba ahh
Watapata tabu sana watakesha
Wakiomba sana mi nawe kuteta
Niko sure na ndio maana mi napeta ahh
Nachotaka uwe around me
Ukiwa mbali nimikasa
Umefanya niwe kama zombie
Wanasema umeniwasha
We ni buyu na mi ni rangi
Penzi letu litapasha
Kwako tight kuzuga sitaki
Utamu wote mi napata yeah
Ahh walinikataa
Sifa mi nakupa hawafiki unag'aa
We ni chuma umeniweza we kifaa
Shepu rangi wapendeza wanifaa
All i want is your love
Kwako mi napata endlessly
I wont play with your heart
Mia mi nakupa sichezi
Hivyo hivyo
Napenda jinsi ulivyosimple simple
Unapendeza na vidimple dimple
Wanatamani uwe single single
Hivyo hivyo
Napenda jinsi ulivyosimple simple
Unapendeza na vidimple dimple
Wanatamani uwe single single
Vile umejibeba
Watapata tabu sana watakesha
Wakiomba sana mi nawe kuteta
Niko sure na ndio maana mi napeta
Vile umejibeba
Watapata tabu sana watakesha
Wakiomba sana mi nawe kuteta
Niko sure na ndio maana mi napeta
Nachotaka ni we around me
Ukiwa mbali nimikasa
Umefanya niwe kama zombie
Wanasema umeniwasha
We ni buyu na mi ni rangi
Penzi letu litapasha
Kwako tight kuzuga sitaki
Utamu wote mi napata yeah

Nachotaka ni we around me
Ukiwa mbali nimikasa
Umefanya niwe kama zombie
Wanasema umeniwasha
We ni buyu na mi ni rangi
Penzi letu litapasha
Kwako tight kuzuga sitaki
Utamu wote mi napata
Kama saa ya majira kwake mi nasimama
Napoteza dira kama teja mi nazima
Na zangu hisia kwake mi nimekwama
Baby just leave it right there
Kwake mi ugali bila mboga nitashiba
Hata nidhurike na maradhi ye ndio tiba
Hodari akiwa saba kiungo nane mi napiga
Baby just leave it right there
Anadeka nikiwambia kumuimbia
Jinsi ninavyompenda yee
Anacheka akinilalia kutulia
Kufuli yangu ufunguo ni yee
Anadeka nikiwambia kumuimbia
Jinsi ninavyompenda yee
Anacheka akinilalia kutulia
Kufuli yangu ufunguo ni yee
Vile umejibeba
Watapata tabu sana watakesha
Wakiomba sana mi nawe kuteta
Niko sure na ndio maana mi napeta ahh
Vile umejibeba ahh
Watapata tabu sana watakesha
Wakiomba sana mi nawe kuteta
Niko sure na ndio maana mi napeta ahh
Nachotaka uwe around me
Ukiwa mbali nimikasa
Umefanya niwe kama zombie
Wanasema umeniwasha
We ni buyu na mi ni rangi
Penzi letu litapasha
Kwako tight kuzuga sitaki
Utamu wote mi napata yeah
Ahh walinikataa
Sifa mi nakupa hawafiki unag'aa
We ni chuma umeniweza we kifaa
Shepu rangi wapendeza wanifaa
All i want is your love
Kwako mi napata endlessly
I wont play with your heart
Mia mi nakupa sichezi
Hivyo hivyo
Napenda jinsi ulivyosimple simple
Unapendeza na vidimple dimple
Wanatamani uwe single single
Hivyo hivyo
Napenda jinsi ulivyosimple simple
Unapendeza na vidimple dimple
Wanatamani uwe single single
Vile umejibeba
Watapata tabu sana watakesha
Wakiomba sana mi nawe kuteta
Niko sure na ndio maana mi napeta
Vile umejibeba
Watapata tabu sana watakesha
Wakiomba sana mi nawe kuteta
Niko sure na ndio maana mi napeta
Nachotaka ni we around me
Ukiwa mbali nimikasa
Umefanya niwe kama zombie
Wanasema umeniwasha
We ni buyu na mi ni rangi
Penzi letu litapasha
Kwako tight kuzuga sitaki
Utamu wote mi napata yeah

Writer(s): Iddi Hemed
Copyright(s): Lyrics © O/B/O DistroKid
Lyrics Licensed & Provided by LyricFind

Post your Interpretation

Attach an image to this thought

Drag image here or click to upload image

The Meaning of Zombie

Be the first!

Post your thoughts on the meaning of "Zombie".

Latest Blog Posts
Lyrics Discussions
by Nipsey Hussle, Bino Rideaux

1

36
Hot Songs
by Rich Amiri

1

57
Recent Blog Posts